Nifanye aje
So leo nimepiga luku safi, nimetoklezea mbaiya, kashirt kablack hivi casual nilinunua pale Uhuru Park ukienda Milimani law courts na uko (Wanakuanga na Camera poa tu, you can passby and check) Tell me why nimetoka Nairobi west polepole kwa mguu nikienda pale Lusaka Road ndo nipande Uber niende nione mtu fulani wa "Maana"... now tell me why nimefika hapo Nyayo then boom, Hawa ndege Man eaters wanakuanga na mdomo mrefu wenye wanakuanga juu ya izo miti hapo anaamua kuniachilia bolingo inakaa ya mtu, Imeland kwa shoulder then ikasplash kwa nguo na ni ya vile izo vinyesi ni ya white ... Sijui nzi wametoka wapi, nanuka kama Ghasia hata nashindwa nitarudi aje hadi Lang'ata juu uyo msee itabidi nimehata kumeet tu